TIGO WADHAMINI MAONESHO YA BIASHARA ARUSHA 2021 ‘ARUSHA TRADE FAIR’.
Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za kidigitali ya nchini, Tigo Tanzania, imedhamini Maonesho makubwa ya biashara ya mwisho wa mwaka Arusha, yanayoendelea katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, tangu Jumatatu ya tarehe 13 na yanatarajiwa kufungwa Jumapili ya tarehe 19, 2021. Ikumbukwe kuwa Maonesho haya yanayohusisha biashara mbalimbali yanalenga kutoa fursa kwa wafanyabiashara wakubwa, wa-kati
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed