TIGO WADHAMINI MAONESHO YA BIASHARA ARUSHA 2021 ‘ARUSHA TRADE FAIR’.

Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za kidigitali ya nchini, Tigo Tanzania, imedhamini Maonesho makubwa ya biashara ya mwisho wa mwaka Arusha, yanayoendelea katika  Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, tangu  Jumatatu ya tarehe 13 na yanatarajiwa kufungwa  Jumapili ya tarehe 19, 2021. Ikumbukwe kuwa Maonesho haya yanayohusisha biashara mbalimbali yanalenga kutoa fursa kwa wafanyabiashara wakubwa, wa-kati